iqna

IQNA

mtu binafsi
Qur'ani Tukufu Inasemaje/17
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu inadhihirisha kwamba matendo ya watu binafsi yana athari kubwa na ya moja kwa moja kwa jamii kwani haitoshi kutegemea sheria kali za kijamii kwa ajili ya kurekebisha jamii; badala yake, kuwe na juhudi za kukuza uelewa miongoni mwa wanajamii.
Habari ID: 3475495    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12